TAARIFA YA SITTI MTEVU KUVUA TAJI LA MISS TANZANIA 2014 HII HAPA.
Tangu
Sitti Mtemvu atangazwe mshindi pale Mlimani City kumekua na malalamiko
kutoka kwa baadhi ya Watanzania yalifuatia kutokana na umri wake,pamoja
na taarifa nyingine ambazo yeye alizikanusha na kusema ni uzushi ikiwemo
ya kuwa na mtoto.
Baada ya haya yote
Novemba 8, 2014 Kamati ya Miss Tanzania imekutana na waandishi wa habari
Dar es salaam na kutangaza kwamba Sitti Mtemvu ameandika barua kwa
hiari yake yeye mwenyewe, kwamba amelivua taji hilo , hivyo kamati hiyo
ikamtangaza ambaye atashikilia taji hilo kwamba ni mshindi namba mbili
wa Miss Tanzania 2014 Lilian Kamazima
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/11/taarifa-ya-miss-tanzania-2014-sitti.html#sthash.CD50dcDq.dpuf
No comments:
Post a Comment